Posts

Showing posts from January, 2018

HAKIM ABDALLAH

Image
HAKIM ABDALLAH shotokan karate player from Tanzania. Started playing shotokan karate in 2013. He gained 1st Dan black belt in December 2016. All this time he has been under the training from Sensei Yahya Mgeni

SHULE ZENYE ADA KUBWA ZAIDI TANZANIA

TOP 10 SHULE ZENYE BEI KUBWA TANZANIA TUSHIRIKISHANE VITU VIZURI 10. Morogoro International School (MIS) Katika Shule ya MIS ada yake kwa mwanafunzi ni kati ya Sh 4.4 Milioni  kwa shule ya Chekechea na Sh 17 milioni kwa elimu ya  Sekondari. Shule hii ni ya gharama kubwa zaidi katika eneo la mkoa wa Morogoro. Shule inatumia mtaala wa Cambridge. 9. International School of Moshi (ISM) ISM ni shule ghali zaidi katika eneo la Moshi. Ada ya kila mwanafunzi kwa mwaka ni kati ya Sh 14.5 Milion kwa elimu ya msingi na Sh 17.2 Milioni  kwa elimu ya Sekondari. Shule inatumia mtaala wa IB. 8. Aga Khan Shule ya Msingi na Sekondari Aga Khan ipo nafasi ya nane kwa Shule za gharama kubwa Tanzania. Ipo katika eneo la Dar es salaam. Mwanafunzi wa ngazi ya msingi,  kila mwaka ada ni  kati ya Sh 7.2 Milioni na Sh 20.4 Milioni kwa ngazi ya sekondari. Aga Khan inatumia mtaala wa IB. 7. Hope of Peace Academy (HOPAC) Hopac ni Shule ya kikristo ya Kimataifa inayopatikana Dar ...